HABARI MOTO MOTO ...

Wednesday, April 17, 2013

picha za enzi ya uhai wa marehemu BIbi Kidude.

Marehemu Bibi Kidude amekufa akiwa na miaka 105,ni mwanamuziki  mkongwe sana katika muziki wa taarabu ambapo alipata umaarufu sana bala na visiwani.viongozi wa serikali na wasanii wauzunika sana kwa kifo cha mkongwe huyu. endelea kupata taarifa zaidi

No comments:

Post a Comment