








Marehemu Bibi Kidude amekufa akiwa na miaka 105,ni mwanamuziki mkongwe sana katika muziki wa taarabu ambapo alipata umaarufu sana bala na visiwani.viongozi wa serikali na wasanii wauzunika sana kwa kifo cha mkongwe huyu.
endelea kupata taarifa zaidi
No comments:
Post a Comment